Akizungumza na Soudy Brown kupitia Uheard alisema kuwa mwanamke kama
yeye hawezi kufumaniwa na kwamba mpenzi wake wa sasa kinachomsumbua ni
wivu wa kimapenzi bila kumtaja jina mpenzi wake huyo wa sasa.
Aidha
ameongeza kuwa hayuko tayari kuzungumzia suala hilo kwa sasa ndiyo maana
amekaa kimya tangu habari hizo zitoke kwenye magazeti.
Post a Comment