Jeshi la DRC lawakamata waasi 182

Wiki tatu sasa baada ya kuanzishwa kwa harakati za kijeshi katika mkoa wa Kivu kusini na Kivu Kaskazini Jeshi la jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo FARDC
limesema limefanikiwa kuwakamata takriban waasi 182 , na kuwapokonya silaha 72 zikiwemo na makombora katika harakati zilizofanyika wiki iliyopita .
Mwandishi wa BBC mashariki mwa Kongo BYOBE MALENGA ametumia taarifa ifuatayo.

Post a Comment

Previous Post Next Post