MSANII wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ amesema kuwa migogoro yote inayomtokea aliyewahi kuwa mwandani wake, Emmanuel Elibariki ‘Nay’ ni kutokana na laana ya kumsambazia picha zake za utupu.
Muuza nyago kwenye sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’.
Emmanuel Elibariki ‘Nay’
“Nilimpenda mno Nay lakini fadhila ya penzi
langu akaona anidhalilishe kwa kuanika picha zangu za utupu kwenye
mitandao ya kijamii, jambo linalonisononesha mpaka kesho, naamini
yaliyomtokea ni laana yangu anayotembea nayo kwani bado sijamsamehe kwa
kitendo kile cha ajabu alichonifanyia,” alisema Bozi.

Post a Comment