Ni
mwaka mmoja tangu serikali ya Uingereza kupiga marufuku uuzaji na
utumiaji wa miraa ama Mirungi nchini humo. Hatua ambayo ilipokelewa kwa
hisia tofauti miongoni mwa wadau wa zao hilo nchini Kenya.
Robert Kiptoo yuko
mjini Meru, mashariki mwa Kenya eneo ambalo ndio linaongoza kwa ukulima
wa miraa.Amewatembelea wakulima wa eneo hilo kuona wameathirika kiasi
gani na hatua hiyo?
Post a Comment