Marufuku ya biashara ya miraa,Kenya

Ni mwaka mmoja tangu serikali ya Uingereza kupiga marufuku uuzaji na utumiaji wa miraa ama Mirungi nchini humo. Hatua ambayo ilipokelewa kwa hisia tofauti miongoni mwa wadau wa zao hilo nchini Kenya.
Robert Kiptoo yuko mjini Meru, mashariki mwa Kenya eneo ambalo ndio linaongoza kwa ukulima wa miraa.Amewatembelea wakulima wa eneo hilo kuona wameathirika kiasi gani na hatua hiyo?

Post a Comment

Previous Post Next Post