LOWASSA Adai Anachukia Sana Umaskini...Ndio Maana Marafiki zake ni Matajiri.....Ataka Watanzania Wote wawe Matajari Kama Kina Mengi na Bakhresa

Wakati akitangaza Kujiunga na Chama cha Chedema leo hii mmoja wa waandishi ameuliza swali kwanini yupo karibu sana na matajiri ..Lowassa amejibu swali hilo kwa kusema kuwa anachukia sana umaskini ndio maana yupo karibu nao na nia yake ni kufanya watanzania wote wawe matajiri kama kina Mengi na Bhakresa.....
 

Post a Comment

Previous Post Next Post