Mhe. Edward Lowassa akiwasili makao makuu ya Chadema Kinondoni jijini Dar es salaam

PHOTO’S: Mhe. Edward Lowassa akiwasili makao makuu ya Chadema Kinondoni jijini Dar es salaam

10985376_385083758350895_3934146143560048902_n
Mh. Edward Lowassa akiwasili makao makuu ya Chadema Kinondoni jijini Dar es salaam leo Alhamisi 30 Julai 2015, Kwa ajili ya kuchukua fomu ‪#‎JIANDIKISHE4VOTE2015‬ 11781826_385083781684226_357795049357982425_n 11781859_385083685017569_82468507562417295_n
11222194_385077578351513_3165626512570599484_n 11781611_385077501684854_727395563038413522_n 11796411_385077678351503_929085411702973400_n 11800076_385077711684833_1869474225607490365_n 11822387_385068365019101_4117247182914344472_n 11825043_385069858352285_5726169163347340811_n 11828776_385074468351824_7023871871251804279_n
11701197_385086115017326_339632401436978029_n 11822619_385087661683838_2353325566626185466_n
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Mbowe (Wa kwanza kushoto) akizungumza na Edward Lowassa na mke wake Regina Lowassa (wa kwanza kulia) alipowasili katika ofisi za Chadema makao makuu kwa ajili ya kuchukua fomu, (Wa pili kushoto) ni naibu katibu mkuu Zanzibar Salum Mwalimu 11822813_385086135017324_6603994543443399571_n
Mhe. Edward Lowassa (kushoto) na akiwa na mke wake Regina Lowassa wakisaini datari la wageni katika ofisi za Chadema makao makuu jijini Dar es salaam, Leo Alhamisi 30 Julai 2015
11059601_385091355016802_8885760366441846382_n
Mwanasheria mkuu wa Chadema Mhe. Tundu Lissu akiongea katika ghafla fupi ya Mhe.Edward Lowassa akichukua fomu katika ofisi za Chadema makao makuu jijini Dar e salaam

Post a Comment

Previous Post Next Post