Baada ya Dk. Slaa na Prof. Lipumba, nani wengine dhamira zitawasuta?

“KWANGU mimi kuingia Ikulu ni tunda la lengo kuu ambalo ni kurudisha maadili ndani ya nchi hii. Nani hajaona matumizi ya rushwa kwenye mchakato wa Lowassa kutafuta wadhamini? Leo fedha zinazotumika ni za kina Rostam Aziz – wale wale ambao tukisimama jukwaani tumekuwa tukiwaita mafisadi. Nimeheshimu na kutii dhamira yangu kwa kuwa naamini Mungu huzungumza nasi kupitia dhamira zetu” (Dk. Slaa – Agosti 3, 2015).

Post a Comment

Previous Post Next Post