SIRI YAFICHUKA: DAKTARI WA CHELSEA ALILALA NA MCHEZAJI


Baada ya wiki ngumu Stamford Bridge, Chelsea wakianza vibaya huku pia Jose Mourinho akimuondoa katika benchi, daktari Eva Carneiro kwa madai ya kupoteza muda kwa kumtibia Eden Hazard, sasa Ex-boyfriend wa daktari huyo amefunguka na kusema yaliyojiri.

Post a Comment

Previous Post Next Post