USEWAZA Yataka Kupigwa Marufuku Disco Viwanja vya Sikukuu.

 Katibu wa Umoja wa Serikali za Wanafunzi Zanzibar USEWAZA, Salum Humoud (katikati) akitoa tamko la Umoja huo kuiomba Wizara ya Elimu kuhusu kupiga marufuku disko siku za siku kuu, kulia Ofisa Elimu kutoka Wizara ya Elimu, Mwl. Suleiman Takdir na kushoto Mtoa mada wa USEWAZA, Shemsa Haji Muhammed. 
Viongozi wa Serikali za wanafunzi kutoka skuli mbalimbali wakimsikiliza katibu wa USEWAZA (hayupo pichani) wakati akitoa tamko la Umoja huo kuiomba Wizara ya Elimu kuhusu kupiga marufuku upigaji disko siku za siku kuu

Post a Comment

Previous Post Next Post