Hii
ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu
waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea
mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa
hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC),
Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari
hivi punde.
Post a Comment