Kwenye upande wa game la muziki nadhani hii iko world wide kwamba
watoto wa kike wako wachache sana,hata kibongo bongo pia,sasa kuhusiana
na game la kibongo linah ana sababu zake ambazo anahisi ndizo
zinazosababisha watoto wakike hawatusui kibongo bongo lakini.
‘’Tumekuwa hatuko ‘real’ tuna nafikiana sana maneno huyu kampelekea
huyu,mara kutengenezeana stori,halafu vitu vingine zinakuwa sio vya
kweli,ukiwa karibu na mtu Fulani mwingine anaona bora akakuharibie,kuna
vitu vinaendelea chini ya kapeti tunafanyiana sisi wasanii vinakuwa sio
poa,hiyo hali inapelekea tunakuwa hatusapotiani,ndio maana muziki wetu
hauendelei,hatuna umoja,’’Linnah
Cloudsfm.com
Post a Comment