Ajali hiyo haikuua abilia hata mmoja, na majeruhi wote walifikishwa katika Hospitari ya Wilaya ya Bariadi
XXXXXXXXXXXXXX
Shughuli hizi za kimila maarufu kama MBINA zinafanyika mara mbili kwa mwaka kutokana na kudhaminiwa na watu wawili tofauti, kuna inayofanyika tarehe 30/05 ambayo mgeni rasmi ni Mh. CHEYO na ile inayofanyika kila tarehe 08/08 mgeni rasmi ni Mh. CHENGE
XXXXXXXXXXXXXX
Shughuli za kimila zilizofanyika mnamo tarehe 30/31/05/2012 katika mji wa Bariadi
Mgeni wa Maadhimisho hayo Mh. Cheyo akiongea na wananchi walioudhulia katika maonyesho hayo
Kikundi cha waonyesha Show maarufu kama Mbina kikitoa burudani za kimila
Wananchi walioudhuliakatika maonyesho hayo yanayofanyika kila mwaka mwezi na tarehe 30/05
Post a Comment