ALIYEWATUKANA ASHLEY YOUNG NA COLE KWENYE TWITTER AKAMATWA

ALIYEWATUKANA ASHLEY YOUNG NA COLE KWENYE TWITTER AKAMATWA

Haya ndio matusi ya kibaguzi ambayo bwana Steve raia wa Uingereza aliwatukana wachezaji wawili wa England ambao weusi Ashley Young wa Manchester United na Ashley Cole anayeichezea Chelsea.

Mtu huyo tayari ameshakamatwa na polisi nchini Uingereza na muda wowote atapelekwa mahakamami.

Post a Comment

أحدث أقدم