BREAKING NEWS; GIROUD ATUA ARSENAL

BREAKING NEWS; GIROUD ATUA ARSENAL


KLABU ya Arsenal imetangaza kumsajili mwanasoka wa kimataifa wa Ufaransa, Olivier Giroud (pichani) kwa mkataba wa muda mrefu. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 25 amekamilisha vipimo vya afya kabla ya kusaini mkataba katika Uwanja wa mazoezi jana jioni London.

Post a Comment

أحدث أقدم