MANCHESTER CITY YAWATAKA EDINSON CAVANI NA FALCAO

KLABU ya Manchester City inatafakari juu ya kuwasajili nyota wa  Napoli, Edinson Cavani, mwenye umri wa miaka 25 na nyota wa Atletico Madrid, Radamel Falcao, mwenye umri wa miaka 26.
 
xxxxARSENAL MAMBO YAPO HIVI xxxx
KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amesema yuko kwenye mkakati wa kumtwaa mshambuliaji wa Ujerumani, Marco Reus. Bosi huyo wa Arsenal, amesema hayo kuhusu Reus, mwenye umri wa miaka 23, wakati akiizungumzia mechi ya Euro 2012 kati ya Ujerumani na Ugiriki kwenye TV ya Ufaransa.
Habari kamili: Daily Star

Post a Comment

أحدث أقدم