MANJI ATUA KWENYE USAILI JANGWANI, 'APIGA GOTI' KUMSALIMU BI RUKIA

MANJI ATUA KWENYE USAILI JANGWANI, 'APIGA GOTI' KUMSALIMU BI RUKIA

Mgombea Uenyekiti wa Yanga, Yussuf Manji (kulia) akimsalimia Bi Rukia makao makuu ya klabu, Jangwani jioni hii alipofika kwa ajili ya usaili

Mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti, Clement Sanga mwenye suti akisalimiana na wanachama wa Yanga makao makuu ya klabu mida hii, alipofika kwa ajili ya usaili. 

Mgombea Ujumbe, Peter Haule kulia akisalimiana na Clement Sanga

Wanachama wakishuhudia zoezi nje ya klabu

Manji akizungumza na wanachama 

Manji na Peter Haule

Manji akiingia kwenye chumba cha usaili, Clement Sanga anatoka

Post a Comment

Previous Post Next Post