Taarifa zaidi kuhusu Misa ya mazishi ya aliyekuwa
Mkurugenzi mtendaji mstaafu wa Bodi ya Utalii nchini Tanzania Marehemu
Peter Mwenguo itafanyika leo saa saba mchana tarehe 21/06/2012,
katika ukimbi wa Karimjee jijini Dar es salaam, baada ya misa kutakuwa
na
kutoa heshima za mwisho hapohapo Karimjee na baadaye msafara utaelekea
katika makaburi ya Kinondoni kwa mazishi
|
إرسال تعليق