VIDIC APONA, KUANZA MAZOEZI WIKI HII

VIDIC APONA, KUANZA MAZOEZI WIKI HII

Vidic

BEKI Nemanja Vidic ataanza mazoezi ya kujiandaa na msimu mpya wiki hii, kabla ya wachezaji wenzake wa Manchester United kurejea kazini, wameandika Man Utd kwenye tovutui yao. Beki huyo wa kati wa kimataifa wa Serbia, hajagusa mpira tangu goti katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya FC Basel, Desemba, mwaka jana.

Post a Comment

أحدث أقدم