Timu ya Copa Coca-Cola yarejea nchini baada kushiriki michuano ya kimataifa ya Copa Coca-Cola nchini Afrika Kusini

 Timu ya Copa Coca-Cola iliyoshiriki katika michuano ya kimataifa ya Copa Coca-Cola nchini Afrika Kusini wiki iliyopita ikiwasili kwenye Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam Jumatatu jioni. Timu hiyo ilitolewa katika hatua ya makundi na Zimbabwe kuibuka mabingwa.
 Afisa maendeleo wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Salum Madadi akiipokea timu ya vijana ya Copa Coca-Cola iliyoshiriki katika michuano ya kimataifa ya Copa Coca-Cola nchini Afrika Kusini wiki iliyopita. Timu hiyo ilitolewa katika hatua ya makundi na Zimbabwe kuibuka mabingwa.

Zimbabwe waliibuka mabingwa wa 2013 wa mashindano ya kimataifa ya COPA Coca-Cola kwa kuwafunga Uganda 3-0 katika mchezo wa fainali iliyochezwa High Performance Center, Pretoria, Afrika Kusini.


Match details in group that featured Tanzanian team
No
Matches
Results
1
Tanzanite vs Chipolopolo (Zambia)
0-2
2
Tanzanite vs Dream Team (DRC, Congo, Kazakstan)
2-0
3
Tanzanite vs African United (SA, Swaziland, Rwanda, Lesotho
2-2
4
Tanzanite vs Phoros (Egypt)
0-1
140 players from 15 countries participated

Post a Comment

أحدث أقدم