Maalim Seif Awasili Miji Dodoma kuhudhuria Mkutano wa Ufunguzi waBunge Maalum la Katiba kesho

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Mbunge wa Mji Mkongwe Mhe. Ibrahim Sanya, baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif amewasili Mjini Dodoma kwa ajili ya kuhudhuria uzinduzi wa Bunge Maalum la Katiba utakaofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

Katka uwanja wa ndege wa Dodoma, Maalim Seif amepokelewa na viongozi wa Mkoa huo pamoja na Wabunge, Wawakilishi na viongozi mbali mbali wa CUF.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na viongozi mbali mbali, baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na viongozi mbali mbali, baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma. (Picha na Salmin Said, OMKR)

Post a Comment

أحدث أقدم