UZINDUZI REDDS MISS TANZANIA 2014 KUFANYIKA LEO JIJINI DAR

Napenda kuwajulisha kwamba uzinduzi wa Mashindano ya urembo ya Miss Tanzania 2014 utafanyika siku ya Alhamisi tarehe 20 Machi 2014 saa 5.00 kamili asubuhi katika hotel ya JB Belmont ukumbi wa savannah. 

awali uzinduzi huu ulikuwa ufanyike sambamba na semina ya mawakala, lakini kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu, imebidi semina isogezwe mbele hadi tarehe 25 Machi 2014. 

Mawakala waliopo jijini DSM na wale wenye nafasi mnakaribishwa kuhudhuria uzinduzi huu. 

natanguliza shukrani.

HIDAN .O. RICCO.
PRO.

Post a Comment

أحدث أقدم