DIAMOND NDANI YA DAR LIVE, AFANYA SHOW YA KIHISTORIA

...Diamond akifanya vitu vyake, akiwa amevalia staili ya US Marine.
...ilikuwa ni shoo iliyopandisha mzuka wa mashabiki kupita kawaida
....Diamond na dancers wake kazini..
...katika shoo zote za Dar Live, Diamond amevunja rekodi ya idadi ya mashabiki
...Diamond Full mzuka!
...hii ndivyo ilivyokuwa Dar Live usiku wa kuakia leo!
...dancers wa Diamond wakifanya vitu vyao:
WAFUATAO NI WASANII WALIOMSINDIKIZA DIAMOND PLATINUM:
Bwana Misosi....
...Wakali Dancers
...licha ya mvua kunyesha wakati fulani, mashabiki hawakukubali kuondoka bila kumuona Diamond!
.....licha ya kimvua, burudani ziliendelea kama kawa...Michael Jackson wa Bongo akifanya vitu vyake
.....msanii Tumbulo akiingia kistaili jukwaani
.....Timbulo akifanya vitu na dancers wake
....Timbulo akiwa juu ya jukwaa..
...wasanii wa Pah One, Watanzania wenye maskani yao Afrika Kusini wakifanya vitu vyao
...mmoja wa wasanii wanaounda kundi la Pah One
....mashabiki wakiwa full mzuka!
PICHA: Richard Bukos, Issa Mnally/GPL
Habari kwa hisani ya:-  globalpublishers

Post a Comment

Previous Post Next Post