MBUNGE WA TEMEKEMH.ABASS MTEVU APATA AJALI YA GARI AKIWA NJIANI KUELEKEA DAR ES SALAAM


Abass Mtemvu

 MBUNGE WA TEMEKEMH.ABASS MTEVU APATA AJALI YA GARI AKIWA NJIANI KUELEKEA DAR ES SALAAM



Mbunge wa Temeke
Abass Mtevu na dereva
wake ambaye jina lake
 hakutajwa, wamenusurika
kifo baada ya kupata
 ajali ya gari  wakiwa
njiani kuja Dar es Salaam.

Akitoa taarifa bungeni 
mchana huu, 
Naibu Spika wa Bunge Job Ndugai 
amesema baada ya ajali iliyosababishia
 majeraha kadhaa mwilini, Mtemvu na
 dereva wake wametibiwa katika
 hospitali ya Morogoro na 
kuruhusiwa kuja Dar.

"Wamenusurika ingawa wamepata

 majera kadhaa mwilini, na hivi 
ninavyozungumza wapo njiani
 kwenda Dar es Salaam" alisema 
Ndugai kuwaambia wabunge. 

Post a Comment

أحدث أقدم