MATOKEO KIDATO CHA SITA YATANGAZWA

MATOKEO KIDATO CHA SITA YATANGAZWA



Katibu mtendaji Dkt. Joyce Ndalichako leo ametangaza matokeo ya form six, 
Shule iliyoongoza ni MARIAN GIRLS ya Bagamoyo. 

Pia amepunguza adhabu ya miaka 3 na kuwa mwaka 1,  iliyokuwa imetolewa kwa watahiniwa waliobainika kufanya udangayifu wa matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2011.
Kuyaona matokeo ingia hapo chini

Post a Comment

Previous Post Next Post