Wahariri wa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam leo wameitwa Ikulu

Wahariri wa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam leo wameitwa kuwepo Ikulu Magogoni ifikapo saa 9:00 alasiri,tukio ambalo linatafsiriwa kuwa huenda ni kutangazwa kwa baraza jipya la mawaziri

Post a Comment

أحدث أقدم