MSHAMBULIAJI wa Italia, Mario Balotelli hana mpango wa kurejea
Italia - kwa sababu anafikiri mashabiki wa Manchester City wataendelea
kumpenda hata kama waliwang'oa England kwenye Euro 2012.
Wakati huo Kocha wa Italia, Cesare Prandelli amesema kwamba wachezaji wake wa
Italia hawaihofii Hispania na watatumia muda mwingi kabla ya fainali ya
Euro 2012 kuangalia udhaifu wao.
Post a Comment