CHELSEA YAIPIGA BAO REAL MADRID
KLABU ya Chelsea inakabiria kuipiga bao Real Madrid katika
kuinasa saini ya Luka Modric, mwenye umri wa miaka 26, wakiwa wanaandaa
dau la pauni Milioni 36 kumnasa kiungo huyo.
KOCHA wa zamani wa Chelsea, Andre Villas-Boas anataka mchezaji wa Porto,
Joao Moutinho, mwenye umri wa miaka 25, awe wa kwanza kumsajili katika
klabu yake mpya, Tottenham kwa dau la pauni Milioni 32 azibe pengo la
Luka Modric.
Post a Comment