Jamhuri ya Czech imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Ugiriki
katika mechi ya Kundi A, Euro 2012 usiku huu kwenye Uwanja Miejski mjini Wrocław.
Mabao ya Czech yamefungwa na P. Jiráček dakika ya tatu, pasi ya T. Hübschman na
V. Pilař dakika ya sita, pasi ya T. Gebre Selassie, wakati la Ugiriki
lilifungwa na T. Gekas dakika ya 53.
|
Post a Comment