MADEE KUANZISHA KOMBE LA NG’OMBE KUUNGANISHA VIJANA WA MANZESE, UBUNGO NA KIMARA

MADEE KUANZISHA KOMBE LA NG’OMBE KUUNGANISHA VIJANA WA MANZESE, UBUNGO NA KIMARA



Unapoona jamii imekupa surport ya kutosha kufikia kwenye mafanikio uliyonayo, basi kuirudishia jamii ama ku give back huwa ndo jambo la muhimu zaidi, na styles za kugive back zinatofautiana,
hivi karibuni rapper madee anatarajia ku launch shindano la mpira wa miguu, litakalojumuisha zaidi ya team 20 ndani ya wilaya kinondoni zitakazokua zinagombea ng’ombe
madee huyu hapa anafunguka

kombe la ngombe litaanza mwanzoni mwa mwezi wa saba
kwa nchini marekani moja kati ya rappers waliojaribu kuanzisha mashindano ni pamoja na snoop dogg mwaka jana alikua na youth football league,

Post a Comment

أحدث أقدم