MANJI AJICHUKULIA FOMU YA KUGOMBEA UENYEKITI, AMCHUKULIA NA BEN KLEB YA UMAKAMU MWENYEKITI

MANJI AJICHUKULIA FOMU YA KUGOMBEA UENYEKITI, AMCHUKULIA NA BEN KLEB YA UMAKAMU MWENYEKITI


Yusuph Manji

Muda mchache uliopita nilitoa taarifa za kuhusu Yusuph Manji kuchukua fomu za kugombea uenyekiti wa klabu ya Yanga, bila kuwepo kwa uthibitisho kwamba amechukua kwa ajili yake au kamchukulia mtu.
Ben Kleb akimkabidhi jezi Haruna Niyonzima
Lakini sasa kwa taarifa nilizozipata kutoka kwa mmoja ya wajumbe wa kamati ya uchaguzi wa Yanga, amethibiisha kwamba Manji amejichukulia fomu mwenyewe ya kugombea uenyekiti, huku akimchukulia aliyekuwa mjumbe wa kamati ya usajili Abdallah Ahmed Bin Kleb fomu za kugombea umakamu mwenyekiti.

Post a Comment

أحدث أقدم