STEWART AWASILI LEO KUANZA KUISUKA AZAM YA UBINGWA KAGAME

STEWART AWASILI LEO KUANZA KUISUKA AZAM YA UBINGWA KAGAME


KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall anatarajiwa kuwasili nchini leo asubuhi kwa ajili ya kuanza program ya maandalizi kwa mashindano ya kombe la Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).
Stewart alikuwa nchini Uingereza kwa mapumziko baada ya  
kumaliza 
 msimu uliopita kwa mafanikio ya kutwaamedali ya fedha kwa 
 kuwa  
 washindi wa pili wa VPL.
Katibu Mkuu wa Azam FC, Nassor Idrissa jana ameiambia 
 tovuti ya 
 http://www.azamfc.co.tz/  kuwa  wataanzamazoezi jioni  
kutokana na
  kocha huyo kurudi asubuhi ya siku hiyo.
Akizungumzia wachezaji wengine alisemawachezaji wote 
 wa kimataifa 
 wameshawasili tayari kwa kuanzamazoezi hayo wakiwa 
 pamoja na 
 wachezaji wengineMazoezi hayo yatafanyika  kwenye uwanja 
 wa 
 AzamChamazi jijini Dar es Salaam.
Idrissa aliongeza kuwa wachezaji waliopo timu ya Taifa ya 
Tanzania 
 ‘Taifa Stars’ watajiunga mara baada yakumaliza michezo yao,
 na 
wale wa Zanzibar Heroes watarejea nchini baada ya kumaliza michezo ya Kombe 
laDunia kwa nchini ambazo sio wanachama wa FIFA.
Aliwataja wachezaji waliowasili kuwa ni George Odhiambo na 
Ibrahim Shikanda kutoka nchini Kenya ambao wotewaliingia 
 Alhamis
 Tchetche Kipre na Michael Kipre kutoka nchini Ivory na 
Joseph Owino 
 wa Uganda.
Idrissa alisema wachezaji wa Tanzania nao wameshaandaa 
 mazingira 
 kwa ajili ya kuanza mazoezi hayowakiwemo vijana kutoka 
 Azam 
Academy ambao wamepanda kuicheza timu kubwaAishi  
Salum,
 JucksonWandwiDizana Issa, Ibrahim Rajab ‘Jeba’ na Joseph Kimwaga.
Aidha Idrissa alisema Azam Academy wameshaanza mazoezi 
 siku ya 
 Ijumaa isipokuwa wacheza watatu ambaobado hawajawasili 
 kujiunga na timu hiyo

Post a Comment

أحدث أقدم