URUSI imepanda
kileleni kwa Kundi A, baada ya Jamhuri ya Czech mabao 4-1, Alan Dzagoev
akipiga mawili katika mechi ya pili ya Euro 2012 usiku huu.
Dzagoev aliifungia bao la kuongoza timu ya Dick Advocaat, kabla ya Roman Shirokov kufunga la pili kufuatia kazi nzuri ya Andrey Arshavin.
Vaclav Pilar
aliifungia bao la kufutia machozi Czech kabla ya Dzagoev na Roman
Pavlyuchenko aliyetokea benchi kuhitimisha karamu ya mabao ya Urusi.
Post a Comment