WANAHARAKATI, MADAKTARI BINGWA WAMSINDIKIZA DK. ULIMBOKA AIRPORT
Wananchi
wakiwa na hamu ya kumuona Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari, Dk.
Steven Ulimboka wakati gari lililombeba likiwa limesimama katika lango
la kuingilia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es
Salaam leo, tayari kusafirishwa kwenda India kutibiwa baada ya hali yake
kuzidi kuwa mbaya. Picha zaidi uk. wa 3. (NA MPIGAPICHA WETU)
Wakifungua mlango tayari kwa kumshusha
Wanaharakati
wakiwa na mabango walipokwenda Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius
Nyerere, Dar es Salaam leo, kumsindikiza Mwenyekiti wa Jumuiya ya
Madaktari, Dk. Steven Ulimboka aliyekuwa anasafirishwa kwenda India
kutibiwa baada ya hali yake kuzidi kuwa mbaya
Post a Comment