KASEJA, DAMAYO, AZAM WANG'ARA TUZO ZA LIGI KUU 2012
Mgeni rasmi, Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye kushoto akiwa na Meneja Masoko wa Vodacom Kevin Twisa 'Kifaa' |
Katikati ni Sumaye, kulia Twisa na kuhsoto Mwenyekiti wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage Mbunge wa Tabora Mjini (CCM) na mmiliki wa kituo cha Redio cha Voice Of Tabora |
Ofisa Habari wa TFF, Boniphace Wambura kulia |
Katibu wa Simba SC, Evodius Mtawala kushoto na rafiki zake |
Twisa akihutubia |
Mwenyekiki wa Simba, Rage kulia, Mwenyekiti wa Azam, Mzee Mohamed Said katikati na Katibu Mkuu wa Yanga, Celestine Mwesigwa - Kwa habari zaidi na picha Bofya hapa |
Post a Comment