YONDAN AKABIDHIWA JEZI YAKE YANGA

YONDAN AKABIDHIWA JEZI YAKE YANGA

Beki wa Simba, Kelvin Yondan akikabidhiwa jezi ya klabu yake mpya, Yanga na mwanachama wa Yanga, Seif Ahmad 'Magari'.

Kaka yake Kelvin Yondan akiusoma kwa makini mkataba wa Yanga, kabla ya kumruhusu mdogo wake kusaini

Yondan anatia dole gumba nguvu zake zote

Yondan anamwaga wino kwa umakini wa hali ya juu

Yondan akiangalia fedha huku akinywa maji kupoza koo, kulia ni kaka yake

Post a Comment

Previous Post Next Post