YONDAN AKABIDHIWA JEZI YAKE YANGA
![]()  | 
| Beki wa Simba, Kelvin Yondan akikabidhiwa jezi ya klabu yake mpya, Yanga na mwanachama wa Yanga, Seif Ahmad 'Magari'. | 
![]()  | 
| Kaka yake Kelvin Yondan akiusoma kwa makini mkataba wa Yanga, kabla ya kumruhusu mdogo wake kusaini | 
![]()  | 
| Yondan anatia dole gumba nguvu zake zote | 
![]()  | 
| Yondan anamwaga wino kwa umakini wa hali ya juu | 
![]()  | 
| Yondan akiangalia fedha huku akinywa maji kupoza koo, kulia ni kaka yake | 





إرسال تعليق