Barcelona,Man City,Paris Saint,wajitosa kuwania saini ya VAN PERSIE

Barcelona,Man City,Paris Saint,wajitosa kuwania saini ya VAN PERSIE

 KLABU ya Manchester City itaweka dau la pauni Milioni 15 kwa ajili ya mshambuliaji wa Arsenal, Robin Van Persie, mwenye umri wa miaka 28, lakini Barcelona na Paris Saint-Germain pia zinamtaka mchezaji huyo, ambaye amekataa kusaini mkataba mpya katika klabu yake.

 Habari kamili: the Sun

 VITA ya kuwania saini ya Nahodha wa Arsenal, Robin van Persie zimeshika kasi, baada ya AC Milan nayo kujitosa rasmi kuwania saini ya mfungaji huyo bora wa Ligi Kuu England, mshambuliaji wa kimataifa wa Uholanzi.

Habari kamili: The Times 

Post a Comment

Previous Post Next Post