CHELSEA KATIKA MBIO ZAKE ZA USAJILI MSIMU HUU

KLABU ya Chelsea imerejea kwenye mbio za kuwania saini ya kiungo wa kimataifa wa Croatia, Luka Modric, na Mwenyekiti wa Spurs, Daniel Levy kwa sasa anashilia funguo za kabati kibao za fedha nyingi kwa ajili ya mauzo ya mchezaji huyo.

Wakati huo huo
 KIUNGO wa Chelsea, Frank Lampard, mwenye umri wa miaka 34, ameonyesha nia ya kubaki Stamford Bridge licha ya kutakiwa kwa dau nono na LA Galaxy na klabu nyingine China.
 Pia
Cesar Azpilicueta
Add caCesar Azpilicuetaption
BEKI wa kimataifa wa Hispania, anayechezea Marseille ya Ufaransa, Cesar Azpilicueta,   mwenye umri wa miaka 22, amerejea kwenye mipango ya uhamisho wa Chelsea, kutokana na harakati za Kocha Roberto Di Matteo kuendelea kusaka beki mpya wa pembeni.

Post a Comment

Previous Post Next Post