KLABU ya Chelsea imerejea kwenye mbio za kuwania saini ya kiungo
wa kimataifa wa Croatia, Luka Modric, na Mwenyekiti wa Spurs, Daniel
Levy kwa sasa anashilia funguo za kabati kibao za fedha nyingi kwa ajili
ya mauzo ya mchezaji huyo.
Wakati huo huo
KIUNGO wa Chelsea, Frank Lampard, mwenye umri wa miaka 34, ameonyesha
nia ya kubaki Stamford Bridge licha ya kutakiwa kwa dau nono na LA
Galaxy na klabu nyingine China.
Pia
![]() |
| Add caCesar Azpilicuetaption |
BEKI wa kimataifa wa Hispania, anayechezea Marseille ya Ufaransa, Cesar Azpilicueta, mwenye umri wa miaka 22,
amerejea kwenye mipango ya uhamisho wa Chelsea, kutokana na harakati za
Kocha Roberto Di Matteo kuendelea kusaka beki mpya wa pembeni.

Post a Comment