NAHODHA wa Arsenal, Robin van Persie, mwenye umri wa miaka 29, amerejea
England kufanya mazungumzo na kocha wake, Arsene Wenger baada ya kuibuka
hofu kwamba anafanya mpango wa kujiunga na Real Madrid.
KOCHA Arsene Wenger amesema atabadilisha mfumo wake wa uendeshaji Arsenal - hata kama wachezaji wake nyota wataendelea kuondoka.
Post a Comment