VAN PERSIE AREJESHWA HARAKA ENGLAND, WENGER ASEMA MSIMAMO ULE ULE HATA NYOTA WOTE WAONDOKE

NAHODHA wa Arsenal, Robin van Persie, mwenye umri wa miaka 29, amerejea England kufanya mazungumzo na kocha wake, Arsene Wenger baada ya kuibuka hofu kwamba anafanya mpango wa kujiunga na Real Madrid.

KOCHA Arsene Wenger amesema atabadilisha mfumo wake wa uendeshaji Arsenal - hata kama wachezaji wake nyota wataendelea kuondoka.

Post a Comment

Previous Post Next Post