DITTO APATA PIGO KWA KUONDOKEWA NA BABA YAKE MZAZI

DITTO APATA PIGO KWA KUONDOKEWA NA BABA YAKE MZAZI

Ditto msanii kutoka THT, usiku huu majira ya saa moja usiku ameondokewa na baba yake mzazi anayeitwa Lambert Tido. Ditto anasema baba yake alikuwa akisumbuliwa na Figo kwa mda mrefu hadi mauti yalipomkuta usiku huu katika hospital ya Taifa Mwimbili
Bongo Star Link inakupa pole sana Ditto na mungu akupe nguvu nyingi kwenye kipindi hiki kigumu ulichokuwa nao.

Post a Comment

Previous Post Next Post