VODACOM, NOKIA ZAINGIA KATIKA USHIRIKIANO KUPUNGUZA GHARAMA ZA SIMU

VODACOM, NOKIA ZAINGIA KATIKA USHIRIKIANO KUPUNGUZA GHARAMA ZA SIMU

Meneja Mkuu wa Nokia Tanzania Samson Mwajwala, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya aina ya simu ya Nokia Asha 200 inayouzwa kwa shilingi 149,999 pamoja na muda wa bure wa maongezi na MB 125. Simu nyingine ya Nokia Asha 302 inauzwa kwa shilingi 219,000 wateja watapata MB 500 kwa miezi sita mfululizo baada ya kuweka muda wa maongezi wa Shilingi 1000, 2000, au 5000 huku huduma ya Facebook, Twitter na Wikipedia zikiendelea kuwa bure. Katikati Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa wa Vodacom Tanzania Mngopelinye Kiwanga na Meneja bidhaa wa Vodacom Elihuruma Ngowi.
Meneja Mkuu wa Nokia Tanzania Samson Mwajwala, akionesha simu aina ya Nokia Asha 200 inayouzwa kwa shilingi 149,999/= pamoja na muda wa bure wa maongezi na MB 125. Simu nyingine ya Nokia Asha 302 inauzwa kwa shilingi 219,000 wateja watapata MB 500 kwa miezi sita mfululizo baada ya kuweka muda wa maongezi wa Shilingi 1000, 2000, au 5000 huku huduma ya Facebook, Twitter na Wikipedia zikiendelea kuwa bure. Katikati ni Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa wa Vodacom Tanzania Mngopelinye Kiwanga na Meneja Bidhaa wa Vodacom Elihuruma Ngowi.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kazini wakati wa uzinduzi wa simu aina ya Nokia Asha 200 na Nokia Asha 203. Nokia Asha 200 inauzwa kwa shilingi 149,999 pamoja na muda wa bure wa maongezi na MB 125, wakati Nokia Asha 302 inauzwa kwa shilingi 219,000, ambapo wateja watapata MB 500 kwa miezi sita mfululizo baada ya kuweka muda wa maongezi wa Shilingi 1000, 2000, au 5000 huku huduma ya Facebook, Twitter na Wikipedia zikiendelea kuwa bure.
Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa wa Vodacom Tanzania Mngopelinye Kiwanga, akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa simu aina ya Nokia Asha 200 na Nokia Asha 203. Nokia Asha 200 inauzwa kwa shilingi 149,999 pamoja na muda wa bure wa maongezi na MB 125, huku Nokia Asha 302 inauzwa kwa shilingi 219,000, ambapo wateja watapata MB 500 kwa miezi sita mfululizo baada ya kuweka muda wa maongezi wa Shilingi 1000, 2000, au 5000. Huduma ya Facebook, Twitter na Wikipedia zinaendelea kuwa bure. Wanaoshuhudia kushoto ni Meneja Mkuu wa Nokia Tanzania, Samson Mwajwala na kulia ni Meneja Bidhaa wa Vodacom Elihuruma Ngowi

Post a Comment

Previous Post Next Post