walemavu wa ngozi Albino kuumana na wabunge ijumaa mjini Dodoma

Katibu wa timu ya walemavu wa ngozi albino "Albino united" Bw. Said
Ndonge,kushoto akiongea na waandishi wa Habari katika ukumbi wa Idara ya
habari maelezo juu ya mechi yao na wabunge itakayochezwa siku ya Ijumaa
katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma, katikati ni meneja wa kinywaji
kisicho na kilevi Grand Malta Bi. Consolata Adam. Na wakwanza kulia ni
Mwenyekiti wa Timu Ya Albino United Bw. Mohamed Kidungu
إرسال تعليق