COASTAL UNION YAPIGWA 1 - 0 DHIDI YA POLISI MOROGORO

COASTAL UNION YAPIGWA 1 - 0 DHIDI YA POLISI MOROGORO


Kikosi cha  timu Coastal Union kilichoanza

POLISI Morogoro imeibamiza Coastal Union ya Tanga 1-0,. kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Bao hilo pekee, lilitiewa kimiani Mokili Rambo dakika ta 80.
Mechi hiyo ilikuwa ni maalum kwa timu zote kuvipima vikosi vyake kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bata.
Katika mchezo huo, vikosi vilikuwa: Polisi Moro; Said Manzi,Nahoda Bakary,John Bosco,Hamisi Mamiwa, Abdallah Rajab,Salmin Kiss, Admin Bantu, Pascal Maige, Abdallah Juma, Mokili Rambo na Keneth Masumbuko
Coastal union; Jackson Chove,Mbwana Bakary, Juma Jabu, Jama Macheranga, Philip Metusela, Hamisi Shengo, Pius Kisambile, Razak Khalfan, Nsa Job, Suleiman Kassim 'Selembe' na Atupele Green.

 
 Kikosi Polisi kilichoanza
 Kipute
 Kipute
 Kipa wa Polisi, Saidi Manzi akiokoa moja ya hatari langoni mwake
Suleiman 'Salembe' akitafuta mbinu za kuwatoka Polisi

Post a Comment

أحدث أقدم