HUYU NDIYE PRINCE HARRY ALIYEPEWA OFA YA KUIGIZA FILAMU YA NGONO


Prince Hary wa Uingereza amepewa ofa ya dola milioni 10 ili aigize kwenye filamu ya wakubwa iliyopewa jina la 'The Trouble With Harry' iliyotokana na picha zake za uchi zilivuja mtandaoni wiki iliyopita jijini Las Vegas , Marekani weekend iliyopita, (17.08.12).


Mwanzilishi wa kampuni ya Vivid Entertainment, Steve Hirsch ameiandikiabarua ikulu ya kifalme ya Uingereza mjini London kuelezea ofa hiyo itakayomwonesha Harry akipigana mikasi yake.


Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Steve ameandika: "We assure you the sex will be well-scripted, and the crown jewels will not be 'minimized' in any way."

Post a Comment

أحدث أقدم