Robin van Persie amefunga bao lake la kwanza Manchester United jioni hii wakati Mashetani hao Wekundu wakiichapa 3-2 Fulham kwenye Uwanja wa Old Trafford.
Mabao matatu ya kipindi cha kwanza kutoka kwa van Persie, Shinji Kagawa na Rafael yaliwapa ushindi wa kwanza ndani ya mechi mbili United.


VIKSI, KADI (1) & MABADILIKO (6)

Manchester United

  • 01 De Gea
  • 02 Rafael
  • 03 Evra
  • 15 Vidic
  • 07 Valencia
  • 08 Anderson (Giggs - 81' )
  • 16 Carrick
  • 18 Young (Welbeck - 68' )
  • 23 Cleverley
  • 26 Kagawa (Rooney - 68' )
  • 20 Van Persie

BENCHI

  • 13 Lindegaard
  • 06 Evans
  • 11 Giggs
  • 22 Scholes
  • 10 Rooney
  • 14 Hernandez
  • 19 Welbeck

Fulham

  • 01 Schwarzer
  • 05 Hangeland Booked
  • 17 Briggs
  • 18 Hughes
  • 27 Riether
  • 16 Duff
  • 19 Diarra (Baird - 81' )
  • 31 Kacaniklic (Sidwell - 62' )
  • 10 Petric (Rodallega - 72' )
  • 11 Ruiz
  • 30 Dembele

BENCHI

  • 13 Stockdale
  • 02 Kelly
  • 06 Baird
  • 32 Halliche
  • 07 Sidwell
  • 08 Kasami
  • 20 Rodallega
REFA: Friend
MAHUDHURIO: 75,352

TAKWIMU ZA MECHI

Possession43%57%99minsManchester UnitedFulham

Shots

2014

On target

1111

Corners

88

Fouls

127

MATOKEO MECHI NYINGINE

Swansea 3 - 0 West Ham FT
Aston Villa 1 - 3 Everton FT
Norwich 1 - 1 QPR FT
Southampton 0 - 2 Wigan FT
Sunderland P - P Reading
Tottenham 1 - 1 West Brom FT