

Akizungumza baada ya kukabidhi fedha taslimu Sh. 500,000
mbali na unga, mchele, sabuni na bidhaa nyingine, Kaburu alisema kwamba huo ni
mwanzo tu na watakuwa wakiendelea kusaidia kituo hicho.
“Simba SC ni taasisi kubwa, tunasema tumeguswa na kilio
chenu, nasi tunaahidi kuendelea kusaidia kadiri ambavyo tutakuwa tukipokea
maombi kutoka kwenu,”alisema Kaburu.
Akitoa shukrani baada ya kupokea misaada hiyo, Katibu wa
kituo hicho, Rashid Mpinda aliwashukuru Simba SC na kuwatakia kila heri katika
msimu ujao, kuanzia kwenye Ligi Kuu na michuano ya Afrika.
Maunga Orphanage Center kilianzishwa mwaka,
إرسال تعليق