SINA GARI NASHINDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YANGU - TOM SAINTFIET. FUATILIA MAONGEZI KATI YA BIN ZUBEIRY NA KOCHA WA YANGA

BIN ZUBEIRY inakuletea mahojiano ya maswali na majibu na Kocha Mkuu wa mabingwa wa soka Afrika Mashariki na Kati, Yanga SC, Mbelgiji Tom Saintfiet 'Mtakatifu Tom' kuhusu masuala mbalimbali katika klabu yake. Endelea.
Mtakatifu Tom kushoto, akiwa na BIN ZUBEIRY

BIN ZUBEIRY: Habari za leo kocha?
SAINTFIET: Nzuri, habari na wewe

BIN ZUBEIRY: Salama. Vipi unaendeleaje na kazi?
SAINTFIET: Vizuri

BIN ZUBEIRY: Vipi kuhusu timu kwa ujumla?
SAINTFIET: Timu yangu iko vizuri, isipokuwa wachezaji wachache ni wagonjwa. Haruna Niyonzima, Nizar Khalfan, Rashid Gumbo, Juma Seif, Idrisa Assenga na Athumani Iddi.
  
BIN ZUBEIRY: Wanasumbuliwa na nini?
SAINTFIET: Wengine Malaria, wengine mafua

BIN ZUBEIRY: Sawa pole sana, hawajafanya mazoezi tangu lini?
SAINTFIET: Wengine tangu Jumamosi, wengine walicheza Jumapili, lakini hakuna aliyefanya mazoezi kabisa kati yao

BIN ZUBEIRY: Sawa, nafikiri Simon Msuva ameleta changamoto mpya kwako katika upangaji wa kikosi cha kwanza (safu ya ushambuliaji)
SAINTFIET: Ndio, ananifurahisha sana

BIN ZUBEIRY: sahihi, bado unajuta kumkosa Mrisho Ngassa?
SAINTFIET: Sijawahi kujuta chochote, Ngassa ni... Zaidi bofya hapa(Bin Zubeiry)

Post a Comment

أحدث أقدم