UKUTA MZIMA WAPANDISHWA A - SIMBA

UKUTA MZIMA WAPANDISHWA A - SIMBA

Kikosi cha Simba B, mabingwa wa BankABC Supe8R

SAFU yote ya ulinzi ya Simba B, kuanzia kipa Abuu Hashimu na mabeki wake, William Lucian ‘Gallas, Omary Salum, Hassan Isihaka na Hassan Hatibu inapandishwa kikosi cha kwanza, ili kukomazwa,
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe aliongea juzi kwamba, mradi mzuri wa soka ya vijana unaelekea kuipunguzia gharama za kusajili klabu hiyo.
“Karibu safu yote ya ulinzi ile ya Simba B, kocha anavutiwa nayo na katika mipango yake atakuwa anawatumia hao wachezaji katika timu A. Na kama kuna kitu ambacho Simba itajivunia baadaye, basi ni wale mabeki wawili wa kati, akina Hassan,”alisema Hans Poppe.
Lakini tayari Kocha Mkuu wa Simba SC, Milovan Cirkovick amewapandisha katika kikosi cha kwanza chipukizi wengine wa Simba B, Jonas Mkude, Edward Christopher na Zaidi bofya hapa

Post a Comment

Previous Post Next Post