VAN DER VAART AREJEA HAMBURG,CHARLIE ADAM - STOKE CITY

Checking in: Charlie Adam has left Liverpool to join Premier League rivals Stoke
Charlie Adam akiwa na jezi yake Stoke
Stoke City imemsajili kiungo wa Scotland, Charlie Adam kwa dau la pauni Milioni 4 kutoka Liverpool. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 28, alipokewa na kocha wa Tony Pulis katika Uwanja wa mazoezi wa Stoke leo asubuhi kabla ya kufanyiwa vipimo afya na kusaini mkataba wa miaka minne. Pia katika timu ya Hamburg
Welcome back: Hamburg tweeted this picture of Rafael van der Vaart with Frank Arnesen
Rafael van der Vaart akiwa na Frank Arnesen
Kiungo wa Tottenham, Rafael van der Vaart amerejea Hamburg kwa uhamisho wa pauni Milioni 10.3. Kiungo huyo wa kimataifa wa Uholanzi, amesaini mkataba wa miaka mitatu na klabu hiyo ya Bundesliga, baada ya kufuzu vipimo vya afya na kukabidhiwa jezi namba 23 ya kufanyia kazi Imtech Arena.
KARIBU NYUMBANI:
 

Post a Comment

Previous Post Next Post