AKON AJISIFU KUWA NA MSANII WIZ KID KATIKA LEBEL YAKE

Baada ya kumaliza Tour yake UK na nchi zingine tulidhani ata pumzika kwa muda kabla ya kurudi tena studio.Hapa namuongelea Msanii Wiz Kid kutoka Nigeria ambaye kwa sasa tayari amesha ingia Konvict Records na anapiga mzigo na Akon. Pia Video yake na Msanii aliye chini ya lebel hio ya Akon ,Kardinal Offishall ft Wiz Kid - Reppin For My City  inakaribia kukamilika so muda wowote utaiona hapa kwenye http://rashidijuma.blogspot.com/.Wiz Kid ni mmoja ya wasanii toka Nigeria aliyepata deal na Akon na alisema ipo siku atapata nafasi kama hio na hata ichezea ,well hii ndio time yake kama unavyoona hapo chini kuwa Akon anajitamba sana kufanya kazi na Wiz Kid.

Post a Comment

أحدث أقدم